Dhumuni la tovuti ni kutumika kama balozi wa wanazuoni. Makala za tovuti zinafanyiwa tarjama kutoka katika vitabu vya kiarabu, sauti na mahojiano ya mdomo na wanazuoni. Kunaweza kuwekwa baadhi ya ziada kama vile maelezo ya chini n.k., lakini ni kitu ambacho hubainishwa.