Swali: Nimesoma Hadiyth katika baadhi ya vitabu vya du´aa ya kwamba mwenye kusoma Suurah ad-Dukhaan usiku, watamuombea msamaha Malaika 7.000. Upi usahihi wa Hadiyth hii?
Jibu: Sijui usahihi wake. Haina msingi kutokana na ninvyojua.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alharamain.gov.sa/index.cfm?do=cms.scholarallsubjects&schid=8177
- Imechapishwa: 01/02/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket