Swali: Mwenye kumwambia baba yake ´ewe kafiri` ukafiri unamrudilia yeye mwenyewe…
Jibu: Hili halimuhusu baba yake tu. Akimwambia muislamu yeyote ´ewe kafiri` ilihali sio kafiri, maneno yake yanamrulia yeye mwenyewe – tunaomba kinga kwa Allaah. Vivyo hivyo akimwambia ´ewe khabithi`, ´Allaah akulaani` au mfano wa maneno kama hayo, ikiwa hastahiki hilo, maneno haya hayaendi patupu. Bali madhambi na khatari yake inamrudilia yeye mwenyewe, ni mamoja ikiwa atamwambia baba yake au mtu mwingine. Lakini hata hivyo akimwambia baba yake hivo ni khatari zaidi kwa sababu huku ni kuasi haki za wazazi. Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
وَلَا تَنْهَرْهُمَا وَقُل لَّهُمَا قَوْلًا كَرِيمًا
“Na wala usiwakemee; na waambie maneno ya heshima.” (17:23)
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah (2) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ftn–1432-08-16.mp3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Swali: Mwenye kumwambia baba yake ´ewe kafiri` ukafiri unamrudilia yeye mwenyewe…
Jibu: Hili halimuhusu baba yake tu. Akimwambia muislamu yeyote ´ewe kafiri` ilihali sio kafiri, maneno yake yanamrulia yeye mwenyewe – tunaomba kinga kwa Allaah. Vivyo hivyo akimwambia ´ewe khabithi`, ´Allaah akulaani` au mfano wa maneno kama hayo, ikiwa hastahiki hilo, maneno haya hayaendi patupu. Bali madhambi na khatari yake inamrudilia yeye mwenyewe, ni mamoja ikiwa atamwambia baba yake au mtu mwingine. Lakini hata hivyo akimwambia baba yake hivo ni khatari zaidi kwa sababu huku ni kuasi haki za wazazi. Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
وَلَا تَنْهَرْهُمَا وَقُل لَّهُمَا قَوْلًا كَرِيمًا
“Na wala usiwakemee; na waambie maneno ya heshima.” (17:23)
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah (2) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ftn–1432-08-16.mp3
Imechapishwa: 21/04/2015
https://firqatunnajia.com/kumwita-muislamu-kafiri-mnafiki-khabithi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)