Swali: Watu wa kawaida na watu wa mashambani ni wengi huku kwetu. Ni vipi tutawafunza mambo ya dini yao? Tuanze kwa kitu gani?
Jibu: Wafunzeni wudhuu´, twahara, swalah na hukumu zinazohusiana na swalah. Haya ni mambo ya dharurah. Muhimu kuliko yote ni ´Aqiydah. Wafunze ´Aqiydah sahihi ijapo kwa njia ya ufupisho. Sambamba na hilo wakatazeni shirki na Bid´ah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (35)
- Imechapishwa: 29/09/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)