Swali: Mwenye kukaa msikitini kwa ajili ya kuhudhuria swalah au mfano wake kisha wudhuu´ wake ukachenguka – je, analazima kutawadha tena papohapo?
Jibu: Si lazima. Lakini asiketi msikitini akiwa na janaba. Lakini akiwa hana janaba – hata kama hana twahara – akae chini na kusikiliza darsa na faida hata kama hana twahara. Isipokuwa mwenye janaba peke yake. Haifai kwa mwenye janaba kukaa mpaka kwanza akoge.
Swali: Akirudi aswali Rak´ah mbili?
Jibu: Akirudi aswali Rak´ah mbili ambazo ni Sunnah ya wudhuu´ na swalah ya mamkuzi ya msikiti.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22591/هل-يلزم-الوضوء-للجلوس-بالمسجد
- Imechapishwa: 07/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)