Swali: Je, inafaa kwa mwenye janaba kukaa msikitini akitawadha?
Jibu: Hapana, haitoshi. Wako baadhi ya Maswahabah wenye kuona hivo lakini haitoshi. Hadiyth ambazo ni Swahiyh zinafahamisha juu ya kwamba ni lazima kutawadha. Hata hivyo ni haina neno ikiwa ni kupita njia peke yake. Mpita njia haina neno. Kuhusu kukaa haifai.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22592/هل-يجوز-للجنب-المكث-في-المسجد-اذا-توضا
- Imechapishwa: 07/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)