Swali: Una nasaha yoyote kuwapa vijana ambao wanapoteza wakati wao katika maneno ya kipuuzi, kutahadharisha wengine, kuwatukana watu na kuwatupia tuhuma mbalibali?
Jibu: Hili halijuzu. Huku ni kusengenya:
وَلَا يَغْتَب بَّعْضُكُم بَعْضًا ۚ أَيُحِبُّ أَحَدُكُمْ أَن يَأْكُلَ لَحْمَ أَخِيهِ مَيْتًا فَكَرِهْتُمُوهُ
“Na wala wasisengenyane baadhi yenu wengineo. Je, anapenda mmoja wenu kula nyama ya nduguye aliyekufa? Mnalichukia hilo!” (49:12)
Je, watu hawa wao hawana madhambi? Ni kwa nini wasizihesabu nafsi zao na wakaangalia mapungufu na madhambi yao na wakaacha kujishughulisha na watu?
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13958
- Imechapishwa: 24/06/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket