Pepo iko juu ya ´Illiyyiyn:
كَلَّا إِنَّ كِتَابَ الْأَبْرَارِ لَفِي عِلِّيِّينَ
“Hashaa! Hakika kitabu cha watendao wema bila shaka kiko katika ‘Illiyyiyn.”[1]
Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika kisa kinachotambulika cha al-Baraa´ bin ´Aazib kuhusu mtihani wa ndani ya kaburi:
“Aseme (´Azza wa Jall): “Kiandikeni kitabu cha mja wangu katika ´Illiyyiyn na mrudisheni ardhini.”
Moto uko chini ya vilivyo chini. Amesema (Ta´ala):
كَلَّا إِنَّ كِتَابَ الْفُجَّارِ لَفِي سِجِّينٍ
“Hashaa! Hakika kitabu cha watendao maovu bila shaka kimo katika Sijjiyn.”[2]
Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika Hadiyth ya al-Baraa´ bin ´Aazib iliyotangulia:
“Aseme (´Azza wa Jall): “Kiandikeni kitabu cha mja wangu katika Sijjiyn katika ardhi ya chini.”
[1] 83:18
[2] 83:07
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ta´aliyq mukhtaswar ´alaa Lum´at-il-I´tiqaad, uk. 132-133
- Imechapishwa: 12/12/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)