Swali: Ni zipi sifa za mwanafunzi ambaye ana haki ya kutoa duruus, khutbah, mihadhara na nasaha kwa ´Awwaam na vijana?
Jibu: Awe anamcha Allaah na asizungumze juu ya Allaah pasina elimu. Asizungumze isipokuwa kwa kile anachokijua. Akiulizwa kuhusi kitu asichokijua aseme kuwa Allaah ndiye Anajua zaidi. Asiwe na ujasiri kwa Allaah wala kwa Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Azungumze kwa elimu iliyojengwa juu ya Qur-aan, Sunnah na maneno ya wanachuoni.
- Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wusswaabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://olamayemen.com/index.php?article_id=2697
- Imechapishwa: 01/05/2015
Swali: Ni zipi sifa za mwanafunzi ambaye ana haki ya kutoa duruus, khutbah, mihadhara na nasaha kwa ´Awwaam na vijana?
Jibu: Awe anamcha Allaah na asizungumze juu ya Allaah pasina elimu. Asizungumze isipokuwa kwa kile anachokijua. Akiulizwa kuhusi kitu asichokijua aseme kuwa Allaah ndiye Anajua zaidi. Asiwe na ujasiri kwa Allaah wala kwa Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Azungumze kwa elimu iliyojengwa juu ya Qur-aan, Sunnah na maneno ya wanachuoni.
Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wusswaabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://olamayemen.com/index.php?article_id=2697
Imechapishwa: 01/05/2015
https://firqatunnajia.com/mwanafunzi-mwenye-haki-ya-kutoa-darsa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)