Swali: Ni vidhibiti vipi vya Kishari´ah ambavyo anahukumiwa mtu kuwa ni Salafiy?

Jibu: Ikiwa anawafuata Salaf katika maneno yake, vitendo vyake na ´Aqiydah na Manhaj yake. Anafuata Qur-aan na Sunnah na ufahamu wa Salaf-us-Swaalih.

  • Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wusswaabiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://olamayemen.com/index.php?article_id=2697
  • Imechapishwa: 01/05/2015