Swali: Ni vidhibiti vipi vya Kishari´ah ambavyo anahukumiwa mtu kuwa ni Salafiy?
Jibu: Ikiwa anawafuata Salaf katika maneno yake, vitendo vyake na ´Aqiydah na Manhaj yake. Anafuata Qur-aan na Sunnah na ufahamu wa Salaf-us-Swaalih.
- Muhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wusswaabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://olamayemen.com/index.php?article_id=2697
- Imechapishwa: 01/05/2015
Swali: Ni vidhibiti vipi vya Kishari´ah ambavyo anahukumiwa mtu kuwa ni Salafiy?
Jibu: Ikiwa anawafuata Salaf katika maneno yake, vitendo vyake na ´Aqiydah na Manhaj yake. Anafuata Qur-aan na Sunnah na ufahamu wa Salaf-us-Swaalih.
Muhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wusswaabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://olamayemen.com/index.php?article_id=2697
Imechapishwa: 01/05/2015
https://firqatunnajia.com/lini-mtu-anahukimiwa-kuwa-ni-salafiy/