Swali: Ufaransa kuna kampuni ya kuchapisha vitabu ambayo imechapisha baadhi ya vitabu vyako. Hata hivyo hatukuona idhini yako wala jina la mwenye kufasiri. Je, unamruhusu mtu yeyote kufasiri vitabu vyako?
Jibu: Hapana. Hatutoi idhini kwa yeyote. Ni lazima nijue ni nani mwenye kufasiri. Mtaalamu ni lazima apitie ufasiri wake. Watapoikubali ndio nitampa idhini yangu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/adaab-11-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 01/05/2015
Swali: Ufaransa kuna kampuni ya kuchapisha vitabu ambayo imechapisha baadhi ya vitabu vyako. Hata hivyo hatukuona idhini yako wala jina la mwenye kufasiri. Je, unamruhusu mtu yeyote kufasiri vitabu vyako?
Jibu: Hapana. Hatutoi idhini kwa yeyote. Ni lazima nijue ni nani mwenye kufasiri. Mtaalamu ni lazima apitie ufasiri wake. Watapoikubali ndio nitampa idhini yangu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/adaab-11-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 01/05/2015
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-vitabu-vyake-kuvifasiri-katika-lugha-nyingine/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)