Swali: Wakati ninapotatizwa na jambo niwaulize wanachuoni kwa njia ya simu au nitafute kwenye vitabu na tovuti za Fataawaa?
Jibu: Waulize wanachuoni kwa njia yoyote ile ambayo itakuwa ni nyepesi kwako…
Kuhusiana na kusikiliza kwenye mkanda na kuzifanyia kazi usifanye hivo. Kwa kuwa baadhi ya Fataawaa kwenye mikanda zinaweza kuwa za makosa na zingine wewe unaweza ukazifahamu kimakosa kinyume na makusudio ya mwanachuoni. Hakuna njia ya sawa isipokuwa kwa kuchukua Fatwa [moja kwa moja] kutoka kwa mwanachuoni ambaye umemuuliza. Usiichukue kwenye vitabu na kadhalika.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/adaab-11-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 01/05/2015
Swali: Wakati ninapotatizwa na jambo niwaulize wanachuoni kwa njia ya simu au nitafute kwenye vitabu na tovuti za Fataawaa?
Jibu: Waulize wanachuoni kwa njia yoyote ile ambayo itakuwa ni nyepesi kwako…
Kuhusiana na kusikiliza kwenye mkanda na kuzifanyia kazi usifanye hivo. Kwa kuwa baadhi ya Fataawaa kwenye mikanda zinaweza kuwa za makosa na zingine wewe unaweza ukazifahamu kimakosa kinyume na makusudio ya mwanachuoni. Hakuna njia ya sawa isipokuwa kwa kuchukua Fatwa [moja kwa moja] kutoka kwa mwanachuoni ambaye umemuuliza. Usiichukue kwenye vitabu na kadhalika.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/adaab-11-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 01/05/2015
https://firqatunnajia.com/waulize-wanachuoni-maswali-kwa-njia-yoyote/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)