Swali: Je, ni lazima kuhudhurisha nia za kupiga hatua[1] kwenda msikitini?
Jibu: Inatosha muda wa kuwa amenuia kuswali. Muda wa kuwa ameenda msikitini kwa ajili ya kuswali, hiyo ndio nia.
Swali: Vipi kuhusu mtu ambaye ametoka maeneo fulani kisha baadaye akaenda msikitini kwa ajili ya kuswali swalah ya mkusanyiko?
Jibu: Kunatarajiwa kwake yote hayo kama mwenye kutembea.
[1] https://firqatunnajia.com/fadhilah-za-kutoka-nyumbani-na-wudhuu-na-kwenda-kuswali/
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22512/هل-تلزم-النية-لحصول-فضل-الخطى-للمسجد
- Imechapishwa: 04/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)