Swali: Je, mwanamke anayewaswalisha wenzie anaweza kutangulia mbele kama anavofanya imamu wa kiume?
Jibu: Hapana, asimame katikati yao. Kwa ajili ya kutojifananisha na wanaume anatakiwa kusimama katikati yao. ´Aaishah na Umm Salamah walipokuwa wanawaswalisha wanawake wanasimama katikati yao.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22524/اين-تقف-من-توم-النساء-بالصلاة
- Imechapishwa: 04/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)