Swali: Je, ni jambo limewekwa katika Shari´ah kumsamehe kafiri ambaye hakutarajiwi kusilimu kwake?
Jibu:
فَمَنْ عَفَا وَأَصْلَحَ فَأَجْرُهُ عَلَى اللَّـهِ
”Lakini anayesamehe na akasuluhisha, basi hakika ujira wake uko kwa Allaah.” (42:40)
Allaah anaweza kumnufaisha na kumwongoza na kumuonyesha kuwa kitendo hicho ni miongoni mwa tabia za Uislamu. Hilo linaweza kumuathiri kwenye moyo wake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22282/حكم-العفو-عن-الكافر-الذي-لا-يرجى-اسلامه
- Imechapishwa: 27/01/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)