Swali: Mwanaume anataka kusafiri na akapiga kura kati ya wakeze ni nani ambaye ataenda naye. Hivyo kura ikamwangukia mmoja wao. Je, anatakiwa kupiga kura mara nyingine wakati ambapo atataka kusafiri?
Jibu: Dharurah. Anatakiwa kupiga kura kati yao katika kila safari. Yule ambaye kura itamwangukia ndiye atasafiri pamoja naye hata kama itamwangukia yuleyule ambaye alisafiri naye mara ya kwanza.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (38)
- Imechapishwa: 22/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)