Kukubaliana safari na wake pasina kura

Swali: Mume anawaambia wake zake kila mwaka kuwa atasafiri na mmoja katika wao ambapo wakakubali mtazamo huo bila kupiga kura. Je, inajuzu kufanya hivo?

Jibu: Ndio. Haki ni yao. Wakiridhia jambo hilo ni sawa.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (38)
  • Imechapishwa: 23/06/2023