Qadariyyah. Wanaona kuwa wanao uwezo, matakwa na ni waweza, kwamba wanamiliki kheri na shari juu ya nafsi zao, kudhuru na kunufaisha, kutii na kuasi, uongofu na upotofu. Wanaona kuwa watu ni wenye kutenda kwa utashi wao wenyewe pasi na Allaah kutangulia kulijua jambo hilo. ´Aqiydah yao inakumbushia ´Aqiydah ya waabudia moto na manaswara na ndio msingi wa uzandiki.
- Muhusika: Imaam Harb bin Ismaa´iyl al-Kirmaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Sunnah, uk. 78
- Imechapishwa: 01/06/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)