Swali: Je, inafaa kusoma Suurah ndani ya Qur-aan kwa nia thawabu zake zimwendee maiti?
Jibu: Haikupokelewa katika Sunnah za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) yanayofahamisha kusuniwa kumpa maiti zawadi ya kisomo cha Qur-aan kama wale wanaosoma al-Faatihah juu ya roho ya maiti. Ni kitu hakina msingi. Soma Qur-aan kisha jiombee du´aa kwa Allaah na ndugu yako muislamu. Kuhusu kumpa maiti thawabu za kisomo ni kitu hakikupokelewa kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/هل-يجوز-قراءة-السورة-من-القرآن-بنية-أن-يكون-أجره-للميت-؟
- Imechapishwa: 11/06/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)