Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali swalah ya Witr msikitini kwa mkusanyiko?
Jibu: Haijuzu kudumu kuswali Witr kwa mkusanyiko. Haijalishi kitu msikiitini au kwenginepo. Isipokuwa katika Ramadhaan baada ya swalah ya Tarawiyh. Mbali na wakati huo kila mmoja anatakiwa kuswali Witr peke yake. Bora Witr iswaliwe mwishoni mwa usiku. Isipokuwa asiyekuwa na uhakika wa kuamka mwishoni mwa usiku basi anaweza kuswali Witr mwanzoni mwake.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
´Abdul-´Aziyz Aalish-Shaykh
Bakr Abu Zayd
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alifta.gov.sa/Ar/IftaContents/Pages/FatawaDetails.aspx?View=Page&PageID=12218&CultStr=ar&PageNo=1&NodeID=1&BookID=3
- Imechapishwa: 17/04/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali swalah ya Witr msikitini kwa mkusanyiko?
Jibu: Haijuzu kudumu kuswali Witr kwa mkusanyiko. Haijalishi kitu msikiitini au kwenginepo. Isipokuwa katika Ramadhaan baada ya swalah ya Tarawiyh. Mbali na wakati huo kila mmoja anatakiwa kuswali Witr peke yake. Bora Witr iswaliwe mwishoni mwa usiku. Isipokuwa asiyekuwa na uhakika wa kuamka mwishoni mwa usiku basi anaweza kuswali Witr mwanzoni mwake.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
´Abdul-´Aziyz Aalish-Shaykh
Bakr Abu Zayd
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.alifta.gov.sa/Ar/IftaContents/Pages/FatawaDetails.aspx?View=Page&PageID=12218&CultStr=ar&PageNo=1&NodeID=1&BookID=3
Imechapishwa: 17/04/2022
https://firqatunnajia.com/witr-msikitini-kwa-mkusanyiko/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)