Swali: Kuna mwanamke ameswali ´Ishaa na hakuswali Witr kwa kukusudia kuamka usiku sehemu iliyobakia ya usiku. Wakati ilipokuwa theluthi ya mwisho ya usiku akapata hedhi. Je, alipe Witr yake aliyoacha pamoja na kuzingatia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakupatapo maishani kuacha Sunnah ya Fajr na Witr katika hali ya ukazi wala hali ya safari?
Jibu: Miongoni mwa mwongozo wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni kwamba alikuwa inapompita Witr usiku kutokana na maradhi au kupitiwa na usingizi basi anailipa mchana kabla ya jua kupondoka hali ya shufwa. Kwa hivyo mtu akichelewesha kulipa Witr mpaka baada ya kipindi hicho basi haikusuniwa kwake kukidhi kile kilichompita.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
´Abdul-´Aziyz Aalish-Shaykh
Bakr Abu Zayd
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alifta.gov.sa/Ar/IftaContents/Pages/FatawaDetails.aspx?View=Page&PageID=12219&CultStr=ar&PageNo=1&NodeID=1&BookID=3
- Imechapishwa: 17/04/2022
Swali: Kuna mwanamke ameswali ´Ishaa na hakuswali Witr kwa kukusudia kuamka usiku sehemu iliyobakia ya usiku. Wakati ilipokuwa theluthi ya mwisho ya usiku akapata hedhi. Je, alipe Witr yake aliyoacha pamoja na kuzingatia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakupatapo maishani kuacha Sunnah ya Fajr na Witr katika hali ya ukazi wala hali ya safari?
Jibu: Miongoni mwa mwongozo wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni kwamba alikuwa inapompita Witr usiku kutokana na maradhi au kupitiwa na usingizi basi anailipa mchana kabla ya jua kupondoka hali ya shufwa. Kwa hivyo mtu akichelewesha kulipa Witr mpaka baada ya kipindi hicho basi haikusuniwa kwake kukidhi kile kilichompita.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
´Abdul-´Aziyz Aalish-Shaykh
Bakr Abu Zayd
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.alifta.gov.sa/Ar/IftaContents/Pages/FatawaDetails.aspx?View=Page&PageID=12219&CultStr=ar&PageNo=1&NodeID=1&BookID=3
Imechapishwa: 17/04/2022
https://firqatunnajia.com/kulipa-witr-ambayo-hakuiswali-kwa-sababu-ya-hedhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)