Swali: Katika hali ya kukusanya ´Ishaa na Maghrib kwa sababu ya mvua inafaa kwa mtu baada ya swalah ya ´Ishaa akaswali shufwa na witr msikitini baada ya kumalizika swalah ya mkusanyiko ya ´Ishaa au ni lazima kwake asubiri mpaka ufike wakati wa ´Ishaa kisha ndio aswali Sunnah, shufwa na witr? Ni lipi bora?
Jibu: Swalah ya ´Ishaa ikikusanywa na Maghrib katika wakati wa magharibi kutokana na udhuru unaokubalika ki-Shari´ah basi itafaa kuswali Witr baada yake. Kuichelewesha mpaka mwishoni mwa usiku ndio bora mtu akiweza kufanya hivo.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
´Abdul-´Aziyz Aalish-Shaykh
Bakr Abu Zayd
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alifta.gov.sa/Ar/IftaContents/Pages/FatawaDetails.aspx?View=Page&PageID=12220&CultStr=ar&PageNo=1&NodeID=1&BookID=3
- Imechapishwa: 17/04/2022
Swali: Katika hali ya kukusanya ´Ishaa na Maghrib kwa sababu ya mvua inafaa kwa mtu baada ya swalah ya ´Ishaa akaswali shufwa na witr msikitini baada ya kumalizika swalah ya mkusanyiko ya ´Ishaa au ni lazima kwake asubiri mpaka ufike wakati wa ´Ishaa kisha ndio aswali Sunnah, shufwa na witr? Ni lipi bora?
Jibu: Swalah ya ´Ishaa ikikusanywa na Maghrib katika wakati wa magharibi kutokana na udhuru unaokubalika ki-Shari´ah basi itafaa kuswali Witr baada yake. Kuichelewesha mpaka mwishoni mwa usiku ndio bora mtu akiweza kufanya hivo.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
´Abdul-´Aziyz Aalish-Shaykh
Bakr Abu Zayd
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.alifta.gov.sa/Ar/IftaContents/Pages/FatawaDetails.aspx?View=Page&PageID=12220&CultStr=ar&PageNo=1&NodeID=1&BookID=3
Imechapishwa: 17/04/2022
https://firqatunnajia.com/shufwa-na-witr-wakati-wa-maghrib/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)