Swali: Kuwaleta msikitini wavulana chini ya miaka saba.
Jibu: Bora ni kuwaacha watoto wa miaka saba muda wa kuwa kuna wepesi wa kufanya hivo ili wasiwashawishi watu. Lakini haudhuru ikiwa wataletwa. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mimi wakati mwingine nasikia kilio cha mtoto na nikafupisha swalah.”
Lakini hakuwakataza. Wakati mwingine anaweza kuhitajia kuja. Anaweza kulazimika kuja naye kwa sababu hakuna yeyote wa kumwangalia. Pengine mama yake hayuko nyumbani, ameachika, ameshakufa au mayatima wadogo ambao hawana wa kuwaangalia. Lakini akishafikisha maiaka saba basi anatakiwa kuswali na wengine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22511/حكم-حضور-الصغار-دون-السابعة-للمسجد
- Imechapishwa: 17/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)