Swali: Je, ni katika Sunnah kumtahiri msichana wangu?
Jibu: Kutahiri msichana ni Sunnah. Kuhusu kumtahiri mvulana ni wajibu.
Lakini asimtahiri yeye ilihali hana uzowefu. Ni lazima awe ni mwanamke mwenye kutahiri aliye na uwezofu wa kutahiri.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (38) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-2-4_1.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket