Swali: Vipi nitahifadhi kuswali daima kisimamo cha usiku?
Jibu: Kitu cha kwanza ni nia. Utaponuia hili na ukaliazimia kwa moyo wako, hili litakusaidia kusimama usiku na mwishowe utazowea.
Pili kulala mapema. Lala mwanzoni mwa usiku ili upate kuamka mwisho wa usiku.
Tatu weka kengele [alamu] ya kukuamsha. Itapofika wakati unaotaka kuamka itakuzindua kuamka.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (38) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-2-4_1.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Vipi nitahifadhi kuswali daima kisimamo cha usiku?
Jibu: Kitu cha kwanza ni nia. Utaponuia hili na ukaliazimia kwa moyo wako, hili litakusaidia kusimama usiku na mwishowe utazowea.
Pili kulala mapema. Lala mwanzoni mwa usiku ili upate kuamka mwisho wa usiku.
Tatu weka kengele [alamu] ya kukuamsha. Itapofika wakati unaotaka kuamka itakuzindua kuamka.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (38) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-2-4_1.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/mambo-ya-kukusaidia-kudumu-na-kisimamo-cha-usiku/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)