Vitu vya makafiri vinavookotwa vinatakiwa kuheshimiwa

Swali: Nimeokota pesa ambayo ikanibainikia kuwa mwenye nayo ni kafiri. Je, nimpe nazo au nizichukue mimi mwenyewe?

Jibu: Pesa za kafiri ni zenye kuheshimiwa. Muda wa kuwa sio kafiri wa vita pesa zake ni zenye kuheshimiwa. Kwa msemo mwingine zitahifadhiwa na kupelekwa kwake kwa amana. Ni jambo ambalo linafahamisha sifa pekee ya Uislamu pia.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
  • Imechapishwa: 04/03/2022