Swali: Je, mtu ambaye ameokota kilichopotea anaweza kumtaka mmiliki kiangazamacho?
Jibu: Hapana. Asimtake mmiliki kitu. Hapana neno ikiwa mmiliki yeye mwenyewe akaamua kukupa kiangazamacho, lakini haifai wewe ukamwomba kitu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
- Imechapishwa: 04/03/2022
Swali: Je, mtu ambaye ameokota kilichopotea anaweza kumtaka mmiliki kiangazamacho?
Jibu: Hapana. Asimtake mmiliki kitu. Hapana neno ikiwa mmiliki yeye mwenyewe akaamua kukupa kiangazamacho, lakini haifai wewe ukamwomba kitu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
Imechapishwa: 04/03/2022
https://firqatunnajia.com/anaomba-kiangazamacho/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)