Swali: Je, mtu ambaye ameokota kilichopotea anaweza kumtaka mmiliki kiangazamacho?

Jibu: Hapana. Asimtake mmiliki kitu. Hapana neno ikiwa mmiliki yeye mwenyewe akaamua kukupa kiangazamacho, lakini haifai wewe ukamwomba kitu.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
  • Imechapishwa: 04/03/2022