Baadhi yao [maimamu] wanazitoa nje sauti zako kwa kisomo ca Qur-aan kwa kutumia kipaza sauti. Matokeo yake wanawashawishi misikiti ilioko pembezoni, kitu ambacho hakijuzu. Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah amesema:
“Ambaye anasoma Qur-aan wakati ambapo watu wanaswali swalah ya sunnah basi haifai kwake kusoma kwa sauti ya juu ambayo itawashughulisha. Kwani hakika Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwatokea Maswahabah zake wakati walipokuwa wanaswali msikitini akasema:
“Enyi watu! Kila mmoja wenu anamnong´oneza Mola wake. Hivyo wamoja wasisome Qur-aan kwa sauti juu ya wengine.”[1]
[1] Tazama ”Majmuu´-ul-Fataawaa (23/61-64))
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Mulakhasw al-Fiqh (01/171)
- Imechapishwa: 06/04/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)