Swali: Je, kuna tofauti kati ya Sifa za dhati na Sifa za kimatendo?
Jibu: Ndio. Sifa za dhati haziachani katu na dhati. Sifa za kimatendo Allaah Anazifanya pale Anapotaka. Alizungumza. Hili linahusiana na hapo kale. Anazungumza. Hili linahusiana na wakati wa sasa na huko mbeleni. Anazungumza pale Anapotaka.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (09) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14340324.mp3
- Imechapishwa: 27/06/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)