Swali: Baadhi ya wanachuoni wanasema Tawassul ni suala la ki-Fiqh na sio la ki-´Aqiydah. Vipi kuhusu hilo?
Jibu: Kufanya Tawassul katika du´aa kwa jaha ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), dhati yake au manzilah yake ni kitu hakikuwekwa katika Shari´ah. Ni njia inayopelekea katika shirki. Utafiti katika suala hili ili kubainisha haki [imetubainikia kuwa] ni suala la ki-´Aqiydah.
Kuhusu kufanya Tawassul kwa Allaah kwa majina Yake, sifa Zake, kwa kumfuata Mtume na kwa matendo juu ya ´Aqiydah na hukumu alizokuja nazo ni jambo lililowekwa katika Shari´ah.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (1/347)
- Imechapishwa: 24/08/2020
Swali: Baadhi ya wanachuoni wanasema Tawassul ni suala la ki-Fiqh na sio la ki-´Aqiydah. Vipi kuhusu hilo?
Jibu: Kufanya Tawassul katika du´aa kwa jaha ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), dhati yake au manzilah yake ni kitu hakikuwekwa katika Shari´ah. Ni njia inayopelekea katika shirki. Utafiti katika suala hili ili kubainisha haki [imetubainikia kuwa] ni suala la ki-´Aqiydah.
Kuhusu kufanya Tawassul kwa Allaah kwa majina Yake, sifa Zake, kwa kumfuata Mtume na kwa matendo juu ya ´Aqiydah na hukumu alizokuja nazo ni jambo lililowekwa katika Shari´ah.
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (1/347)
Imechapishwa: 24/08/2020
https://firqatunnajia.com/tawassul-ni-suala-la-fiqh-au-aqiydah/