Swali: Nimemsikia mwalimu mwenye kusema kuwa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameumbwa kutoka kwenye nuru ya Allaah. Je, hili ni sahihi?
Jibu: Maoni ya mwalimu huyu ni ya makosa. Inaenda kinyume na dalili za Qur-aan na Sunnah. Hakika dalili, hisia na yenye kushuhudiwa vyote vinajulisha kuwa ameumbwa kutokana na baba na mama ambao ni ´Abdullaah bin ´Abdil-Muttwalib na Aaminah bint Wahb. Ukoo wake ni wenye kujulikana.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (1/309)
- Imechapishwa: 24/08/2020
Swali: Nimemsikia mwalimu mwenye kusema kuwa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameumbwa kutoka kwenye nuru ya Allaah. Je, hili ni sahihi?
Jibu: Maoni ya mwalimu huyu ni ya makosa. Inaenda kinyume na dalili za Qur-aan na Sunnah. Hakika dalili, hisia na yenye kushuhudiwa vyote vinajulisha kuwa ameumbwa kutokana na baba na mama ambao ni ´Abdullaah bin ´Abdil-Muttwalib na Aaminah bint Wahb. Ukoo wake ni wenye kujulikana.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (1/309)
Imechapishwa: 24/08/2020
https://firqatunnajia.com/mtume-muhammad-ameumbwa-kutoka-kwenye-nuru-ya-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)