Swali: Je, inafaa kwa muislamu kula tamtam zilizo na mafuta ya nguruwe?
Jibu: Kamwe. Haijuzu. Vitu vilivyo na mfuta ya nguruwe haviliwi.
Swali: Je, inafaa kwake kuvila ikiwa mafuta hayo ya nguruwe yamekwishayayuka?
Jibu: Hakuna tamtam nyingine? Asisogelee nguruwe wala kitu kilicho na nguruwe, kwa sababu ni mchafu. Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
أَوْ لَحْمَ خِنزِيرٍ فَإِنَّهُ رِجْسٌ
”… au nyama ya nguruwe – kwani hiyo ni uchafu… ”[1]
[1] 6:145
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
- Imechapishwa: 30/11/2023
Swali: Je, inafaa kwa muislamu kula tamtam zilizo na mafuta ya nguruwe?
Jibu: Kamwe. Haijuzu. Vitu vilivyo na mfuta ya nguruwe haviliwi.
Swali: Je, inafaa kwake kuvila ikiwa mafuta hayo ya nguruwe yamekwishayayuka?
Jibu: Hakuna tamtam nyingine? Asisogelee nguruwe wala kitu kilicho na nguruwe, kwa sababu ni mchafu. Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
أَوْ لَحْمَ خِنزِيرٍ فَإِنَّهُ رِجْسٌ
”… au nyama ya nguruwe – kwani hiyo ni uchafu… ”[1]
[1] 6:145
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
Imechapishwa: 30/11/2023
https://firqatunnajia.com/tamtam-zilizo-na-dutu-ya-nguruwe/