Swali: Je, imepokelewa kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
صلوا صلاة مودع
“Swalini swalah ya kuaga?”[1]
Jibu: Sikumbuki kitu kuhusu hilo. Nasema kuwa sijui chochote juu ya hilo katika Hadiyth. Baadhi ya Salaf ndio walikuwa wakiusia juu ya hilo.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/swalini-swalah-ya-kuaga/
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23066/هل-صح-في-الحديث-صلوا-صلاة-مودع
- Imechapishwa: 26/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket