Swali: Baadhi yao wanaomba kwa kusema:

اللهم اجعلنا من الباء بركة، ومن الراء رحمة

 “Ee Allaah! Tujaalie katika B baraka na katika R rehema.”

Wanaomba kwa yale yanayoafikiana na ile herufi ya mwanzo.

Jibu: Hapana, haina msingi. Sijui msingi wake. Aombe du´aa zingine mbali na kusema hivi.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23056/حكم-الدعاء-بما-يوافق-بدايات-الحروف
  • Imechapishwa: 26/10/2023