Swali: Je, swalah ya mtu anayeongoza watu ambao wanamchukia ni sahihi?
Jibu: Ndiyo, swalah yake ni sahihi ingawa anapata dhambi.
Swali: Vipi ikiwa hajui kwamba wanamchukia?
Jibu: Ikiwa hajui, hakuna dhambi juu yake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24914/حكم-صلاة-من-صلى-بقوم-وهم-له-كارهون
- Imechapishwa: 03/01/2025
Swali: Je, swalah ya mtu anayeongoza watu ambao wanamchukia ni sahihi?
Jibu: Ndiyo, swalah yake ni sahihi ingawa anapata dhambi.
Swali: Vipi ikiwa hajui kwamba wanamchukia?
Jibu: Ikiwa hajui, hakuna dhambi juu yake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24914/حكم-صلاة-من-صلى-بقوم-وهم-له-كارهون
Imechapishwa: 03/01/2025
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-imamu-ambaye-maamuma-wanamchukia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)