Swali: Vipi ikiwa anayeteua mswaliji kuwaswalisha wengine ataongea wakati wa kumteua mtu?
Jibu: Hapana tatizo, kwani swalah yake imeshaharibika kuanzia pale ambapo alipopatwa na hadathi au alipokumbuka kuwa hayuko katika hali ya twahara. Kwa kuwa hayupo tena katika hali inayomruhusu kuswali, anaruhusiwa kuzungumza kwa kusema: “Simama, ee fulani uwaswalishe” au “Kamilisha swalah nao, ee fulani.” Anaweza pia kumpeleka mtu mbele kwa ishara ili awaswalishe, kwa sababu tayari amejua kuwa yeye si miongoni mwa watu wa kuswali katika hali hiyo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24912/هل-تبطل-الصلاة-بكلام-من-استخلف-غيره
- Imechapishwa: 03/01/2025
Swali: Vipi ikiwa anayeteua mswaliji kuwaswalisha wengine ataongea wakati wa kumteua mtu?
Jibu: Hapana tatizo, kwani swalah yake imeshaharibika kuanzia pale ambapo alipopatwa na hadathi au alipokumbuka kuwa hayuko katika hali ya twahara. Kwa kuwa hayupo tena katika hali inayomruhusu kuswali, anaruhusiwa kuzungumza kwa kusema: “Simama, ee fulani uwaswalishe” au “Kamilisha swalah nao, ee fulani.” Anaweza pia kumpeleka mtu mbele kwa ishara ili awaswalishe, kwa sababu tayari amejua kuwa yeye si miongoni mwa watu wa kuswali katika hali hiyo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24912/هل-تبطل-الصلاة-بكلام-من-استخلف-غيره
Imechapishwa: 03/01/2025
https://firqatunnajia.com/imamu-anamzungumzisha-anayemteua-kuwaswalisha-wengine/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)