Swali: Ikiwa mtu alikumbuka kwamba hayuko katika hali ya wudhuu´ kabla ya kutoa salamu?
Jibu: Dhahiri ni kwamba anapaswa kusimama na kumwambia mmoja wa waliopo: “Kamilisha swalah nao”, kwa sababu hajamaliza swalah yake na yeye anajua kuwa hayuko katika hali inayomruhusu kuswali.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24911/حكم-الامام-اذا-ذكر-انه-محدث-قبل-التسليم
- Imechapishwa: 03/01/2025
Swali: Ikiwa mtu alikumbuka kwamba hayuko katika hali ya wudhuu´ kabla ya kutoa salamu?
Jibu: Dhahiri ni kwamba anapaswa kusimama na kumwambia mmoja wa waliopo: “Kamilisha swalah nao”, kwa sababu hajamaliza swalah yake na yeye anajua kuwa hayuko katika hali inayomruhusu kuswali.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24911/حكم-الامام-اذا-ذكر-انه-محدث-قبل-التسليم
Imechapishwa: 03/01/2025
https://firqatunnajia.com/imamu-amekumbuka-kuwa-hana-wudhuu-kabla-ya-kumaliza-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)