Swali: Mwenye kutaka kuchelewesha swalah, mbali na Dhuhr, bora aadhini pamoja na misikiti mingine ndani ya wakati kisha aswali pale itapombainikia?
Jibu: Ndio, aadhini pamoja na misikiti mingine. Inategemea na swalah yenyewe. Kwa mfano inapokuja katika ´Ishaa; akiona wamekuja mapema huitanguliza, na akiona wamechelewa huichelewesha.
Swali: Dhuhr peke yake ndio inacheleweshwa adhaana na swalah?
Jibu: Joto likiwa kali wacheleweshe adhaana na swalah. Hiyo ndio Sunnah.
Swali: Kwa maana nyingine hilo ni jambo maalum kwa ajili ya Dhuhr, kwa isiyokuwa Dhuhr mtu aadhini ndani ya wakati?
Jibu: Ndio.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23708/هل-يوذن-في-الوقت-بمسجد-يوخر-الصلاة
- Imechapishwa: 07/04/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)