Swalah ina mambo manne:
1 – Haikufaradhishwa kamazakaah, swawm na hajj. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliichukua moja kwa moja kutoka kwa Allaah (Ta´ala).
2 –Mahali. Alipoichukua ilikuwa ndio sehemu ya juu kabisa alipofika binadamu. Kwa msemo mwingine haikufaradhishwa kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na yuko katika ardhi.
3 – Wakati. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliichukua katika wakati mtukufu kabisa ambao ni usiku wa Mi´raaj.
4 – Haikufaradhishwa swalah moja. Bali kulifaradhishwa swalah khamsini. Hili linaonyesha kuwa Allaah anaipenda sana na kwamba anampenda mja wake awe daima ni mwenye kushughulika nayo.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (01/356 )
- Imechapishwa: 09/05/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)