Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah) amesema:
“Shirki na Bid´an nyinginezo zimejengwa juu ya Bid´ah na uongo.”
Hii inakuwa daima na kila siku. Shirki na Bid´ah nyinginezo havina hoja wala dalili, vimejengeka juu ya uongo, uzushi, visa vya uongo na ndoto. Yote yamejengeka juu ya mambo haya. Vimejengeka vilevile juu ya Hadiyth zilizoundwa na za uongo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Iqtidhwaa’-is-Swiraat al-Mustaqiym (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ektda–1429-11-17.mp3
- Imechapishwa: 05/05/2015
Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah) amesema:
“Shirki na Bid´an nyinginezo zimejengwa juu ya Bid´ah na uongo.”
Hii inakuwa daima na kila siku. Shirki na Bid´ah nyinginezo havina hoja wala dalili, vimejengeka juu ya uongo, uzushi, visa vya uongo na ndoto. Yote yamejengeka juu ya mambo haya. Vimejengeka vilevile juu ya Hadiyth zilizoundwa na za uongo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Iqtidhwaa’-is-Swiraat al-Mustaqiym (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ektda–1429-11-17.mp3
Imechapishwa: 05/05/2015
https://firqatunnajia.com/shirki-na-bidah-vimejengwa-juu-ya-batili/