Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah) amesema:
“Shirki na Bid´an nyinginezo zimejengwa juu ya Bid´ah na uongo.”
Hii inakuwa daima na kila siku. Shirki na Bid´ah nyinginezo havina hoja wala dalili, vimejengeka juu ya uongo, uzushi, visa vya uongo na ndoto. Yote yamejengeka juu ya mambo haya. Vimejengeka vilevile juu ya Hadiyth zilizoundwa na za uongo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Iqtidhwaa’-is-Swiraat al-Mustaqiym (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ektda–1429-11-17.mp3
- Imechapishwa: 05/05/2015
Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah) amesema:
“Shirki na Bid´an nyinginezo zimejengwa juu ya Bid´ah na uongo.”
Hii inakuwa daima na kila siku. Shirki na Bid´ah nyinginezo havina hoja wala dalili, vimejengeka juu ya uongo, uzushi, visa vya uongo na ndoto. Yote yamejengeka juu ya mambo haya. Vimejengeka vilevile juu ya Hadiyth zilizoundwa na za uongo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Iqtidhwaa’-is-Swiraat al-Mustaqiym (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ektda–1429-11-17.mp3
Imechapishwa: 05/05/2015
https://firqatunnajia.com/shirki-na-bidah-vimejengwa-juu-ya-batili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)