Swali: Kuna swali kuhusu Shaykh ´Abdul-Maalik Ramadhwaaniy.
´Ubayd: ´Abdul-Maalik Ramadhwaaniy imekuwa siku hizi anachanga sana mambo na anakosa nia. Hafai.
Swali: [Swali haliko wazi]
´Ubayd: Hapana, hapana. Siwanasihi kushikamana naye. Ni katika wafuasi wa al-Halabiy sasa.
Swali: Vitabu vyake vya zamani vipo hapa Libya.
´Ubayd: Vitabu vya zamani mtu anaweza kuchukua elimu akastafidi kwavyo, na khaswa vile ambavyo vina Radd dhidi ya Khawaarij. Ni vizuri. Kwa mfano kitabu “Madaarik-un-Nadhwar”. Ni kizuri.
Swali: Ana kitabu hata cha Hijaab…
´Ubayd: Hakuna neno kusoma vitabu vya zamani. Lakini mtu huyu kwa sasa, amekuwa kama nimevyokwambia. Kuanzia miaka ya nyuma amekuwa hana tena nia. Anasapoti maneno na sifa za al-Halabiy kwa The Amman Message ambayo imejaa Kufuru.
- Muhusika: Shaykh ´Ubayd bin ´Abdillaah al-Jaabiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=127471
- Imechapishwa: 28/07/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)