Swali: Baadhi ya watu wanapokutana asubuhi huambiana “Khabari za asubuhi”.
Jibu: Hapana. Bora ni kusema:
السلام عليكم
“Amani ya Allaah iwe juu yenu.”
Kisha baada ya kutoa salamu ndio anaweza kusema ´khabari za asubuhi` au ´vipi hali yako?`. Anatakiwa kuanza kutoa salamu. Hii ndio Sunnah. Msalimiwaji atajibu kwa kusema:
وعليكم السلام
“Nawe amani ya Allaah iwe juu yako.”
Kisha akipenda atamwambia ´vipi hali yako?`, ´vipi hali ya watoto wako?`. Hapana vibaya kufanya hivo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23083/حكم-قول-صباح-الخير-للتحية
- Imechapishwa: 27/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)