Swali: Ni mambo gani yaliyomfanya Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) kutunga kitabu hiki?
Jibu: Kuweka wazi shubuha walizoleta waabudu makaburi na wakataka kuwapaka kwazo mchanga wa machoni waislamu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 19
- Imechapishwa: 01/03/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)
Related
Je, mayahudi na manaswara wa leo ni watu wa Kitabu?
Swali: Kuna maswali mengi yanauliza juu ya kuwaoa wanawake wa Kitabu. Je, manaswara na mayahudi waliyopo hii leo wanazingatiwa ni katika watu wa Kitabu? Jibu: Hapana shaka. Ni katika watu wa Kitabu kwa sababu wanajinasibisha na Kitabu. Allaah amewaita kuwa ni watu wa Kitabu licha ya kwamba anajua hali yao.…
In "Kusoma katika vitabu vyake kale"
al-Fawzaan kuhusu kitabu “Haadhihiy as-Suufiyyah”
Swali: Ni yapi maoni yako juu ya kitabu "as-Suufiyyah" cha Muhammad ´Abduh na kitabu "Haadhihiy as-Suufiyyah" cha ´Abdur-Rahmaan Wakiyl? Jibu: Kuhusu kitabu "as-Suufiyyah" cha Muhammad ´Abduh mimi sijakiona. Sijui anakusudia Muhammad ´Abduh yupi; ni yule ambaye alikuwa Mufty wa Misri katika wakati wake au ni Muhammad ´Abduh mwingine. Allaah ndiye…
In "al-Fawzaan kuhusu Muhammad ´Abduh"
Kutangaza msikitini kitabu kilichopotea
Swali: Kuna ndugu mmoja wiki iliopita alichukua kitabu cha ndugu yake mwingine kimakosa. Je, kuelezea kuhusu kitabu hiki msikitini ni jambo limekatazwa au hapana? Jibu: Ikiwa kimepotea na mmiliki akatangaza kwa kusema “yule atakayepata kitabu changu kadhaa... “ jambo hili halitakikani. Ama ikiwa anaeleza kwamba alichukua kitabu cha mwingine kimakosa…
In "Luqatwah - Kiokotwa"