Swali: Kuna ndugu mmoja wiki iliopita alichukua kitabu cha ndugu yake mwingine kimakosa. Je, kuelezea kuhusu kitabu hiki msikitini ni jambo limekatazwa au hapana?
Jibu: Ikiwa kimepotea na mmiliki akatangaza kwa kusema “yule atakayepata kitabu changu kadhaa… “ jambo hili halitakikani. Ama ikiwa anaeleza kwamba alichukua kitabu cha mwingine kimakosa hakuna neno.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (09) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191370#219699
- Imechapishwa: 24/03/2019
Swali: Kuna ndugu mmoja wiki iliopita alichukua kitabu cha ndugu yake mwingine kimakosa. Je, kuelezea kuhusu kitabu hiki msikitini ni jambo limekatazwa au hapana?
Jibu: Ikiwa kimepotea na mmiliki akatangaza kwa kusema “yule atakayepata kitabu changu kadhaa… “ jambo hili halitakikani. Ama ikiwa anaeleza kwamba alichukua kitabu cha mwingine kimakosa hakuna neno.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (09) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191370#219699
Imechapishwa: 24/03/2019
https://firqatunnajia.com/kutangaza-msikitini-kitabu-kilichopotea/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)