Swali: Kuna maswali mengi yanauliza juu ya kuwaoa wanawake wa Kitabu. Je, manaswara na mayahudi waliyopo hii leo wanazingatiwa ni katika watu wa Kitabu?
Jibu: Hapana shaka. Ni katika watu wa Kitabu kwa sababu wanajinasibisha na Kitabu. Allaah amewaita kuwa ni watu wa Kitabu licha ya kwamba anajua hali yao. Kwa hiyo watabaki kuwa ni watu wa Kitabu mpaka kisimame Qiyaamah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (37)
- Imechapishwa: 20/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)