Swali: Mwanamke akiolewa na mwanaume kafiri na yeye anajua jambo hilo. Je, anakufuru kwa jambo hilo?
Jibu: Hapana, hakufuru. Lakini ndoa haisihi. Hata hivyo kama anaona kuwa kitendo hicho ni halali na akasema kuwa ni halali kwa mwanamke wa Kiislamu kuolewa na mwanaume kafiri, hapo ndipo anakufuru.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (37)
- Imechapishwa: 20/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)