Swali: Mwanume anayemuoa mwanamke katika watu wa Kitabu ndoa itakuwa kwa mujibu wa Uislamu au kwa mujibu wa dini yake?
Jibu: Kwa mujibu wa dini ya Uislamu; kutoa, kukubali na mahari.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (37)
- Imechapishwa: 20/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)