Swali: Upara ni pale ambapo sehemu fulani ya kichwa inaota zaidi…
Jibu: Ikiwa ni maumbile yake hakuna neno.
Swali: Lakini akikata sehemu za kandokando na akaacha upande ambao una kipara – kunaingia katika Qaz´?
Jibu: Asizifanye kitu.
Swali: Makatazo ni kwa njia ya uharamu?
Jibu: Ndio. Huu ndio msingi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ninayokukatazeni basi jiepusheni nayo na nikikuamrisheni jambo basi lifanyeni muwezavyo.”
Amesema (´Azza wa Jall):
وَمَا آتَاكُمُ الرَّسُولُ فَخُذُوهُ وَمَا نَهَاكُمْ عَنْهُ فَانتَهُوا
”Kile alichokupeni Mtume basi kichukueni na kile alichokukatazeni basi kiacheni.”[1]
Hii ndio kanuni kwa wanazuoni; ya kwamba msingi wa makatazo ni uharamu na msingi wa amri ni ulazima. Isipokuwa pakiwepo dalili.
[1] 59:07
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21942/حكم-قص-جوانب-الراس-وترك-جهة-الصلع
- Imechapishwa: 07/10/2022
Swali: Upara ni pale ambapo sehemu fulani ya kichwa inaota zaidi…
Jibu: Ikiwa ni maumbile yake hakuna neno.
Swali: Lakini akikata sehemu za kandokando na akaacha upande ambao una kipara – kunaingia katika Qaz´?
Jibu: Asizifanye kitu.
Swali: Makatazo ni kwa njia ya uharamu?
Jibu: Ndio. Huu ndio msingi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ninayokukatazeni basi jiepusheni nayo na nikikuamrisheni jambo basi lifanyeni muwezavyo.”
Amesema (´Azza wa Jall):
وَمَا آتَاكُمُ الرَّسُولُ فَخُذُوهُ وَمَا نَهَاكُمْ عَنْهُ فَانتَهُوا
”Kile alichokupeni Mtume basi kichukueni na kile alichokukatazeni basi kiacheni.”[1]
Hii ndio kanuni kwa wanazuoni; ya kwamba msingi wa makatazo ni uharamu na msingi wa amri ni ulazima. Isipokuwa pakiwepo dalili.
[1] 59:07
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21942/حكم-قص-جوانب-الراس-وترك-جهة-الصلع
Imechapishwa: 07/10/2022
https://firqatunnajia.com/qaz-kwa-mwenye-upara/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)