Swali: Kufuga nywele.
Jibu: Ni sawa ikiwa ndani yake hakuna uharibifu. Lakini akizifuga kwa lengo la uharibifu, kuwawinda wanawake na machafu ni haramu. Hata hivyo hapana neno akizifuga kwa ajili ya Sunnah na kwamba amekusudia kheri na Sunnah.
Swali: Nywele ndefu kwa wanamme ni Sunnah?
Jibu: Akizifuga kwa nia njema na nia yake si kucheza na kueneza maharibifu ardhini.
Swali: Ni Sunnah?
Jibu: Itafaa.
Swali: Azirefushe urefu wa wazi?
Jibu: Hakuna kikomo maalum. Lakini malengo yake yasiwe mabaya.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/ما-حكم-اتخاذ-الشعر-واطالته
- Imechapishwa: 07/10/2022
Swali: Kufuga nywele.
Jibu: Ni sawa ikiwa ndani yake hakuna uharibifu. Lakini akizifuga kwa lengo la uharibifu, kuwawinda wanawake na machafu ni haramu. Hata hivyo hapana neno akizifuga kwa ajili ya Sunnah na kwamba amekusudia kheri na Sunnah.
Swali: Nywele ndefu kwa wanamme ni Sunnah?
Jibu: Akizifuga kwa nia njema na nia yake si kucheza na kueneza maharibifu ardhini.
Swali: Ni Sunnah?
Jibu: Itafaa.
Swali: Azirefushe urefu wa wazi?
Jibu: Hakuna kikomo maalum. Lakini malengo yake yasiwe mabaya.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/ما-حكم-اتخاذ-الشعر-واطالته
Imechapishwa: 07/10/2022
https://firqatunnajia.com/hapa-ndipo-itafaa-kurefusha-nywele/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)